Umoja wa Makanisa Tanzania

Uhakiki.
Uaminifu.
Umoja.

Mfumo rasmi wa uhakiki wa uanachama wa UMKKT. Scan QR Code yoyote ya kitambulisho cha mwanachama kupata taarifa kamili na za kweli.

500+
Wanachama Hai
80+
Makanisa
12
Kanda
Huduma za Haraka
Uhakiki wa kitambulisho

Hakiki Uanachama

Thibitisha ukweli wa kitambulisho cha mwanachama wowote wa UMKKT kwa sekunde chache.

Hakiki sasa
Kanisa

Tafuta Kanisa

Pata kanisa la UMKKT karibu nawe kwa kuchagua mkoa, wilaya, au kanda yako.

Tafuta kanisa
Viongozi wa kanisa

Wasiliana Nasi

Pata mawasiliano ya viongozi wa kitaifa na wa kanda yako kwa msaada wowote.

Mawasiliano
Ujumbe wa Rais
Askofu Joseph Makwela
Askofu Joseph Makwela
Rais wa Baraza la UMKKT

"Twajengana katika
imani na umoja."

Karibuni katika mfumo rasmi wa UMKKT. Umoja wetu umejengwa juu ya misingi imara ya imani, uwazi, na ushirikiano wa kweli kati ya makanisa yetu yote nchini Tanzania.

Mfumo huu wa kidijitali ni hatua muhimu katika kuhakikisha kwamba taarifa za wanachama wetu ni salama, zinapatikana, na zinaweza kuthibitishwa kwa urahisi na muda wowote.

Jiunge Nasi

Je, kanisa lako liko kwenye mfumo?

Pakua fomu ya usajili na uwasiliane na ofisi ya UMKKT kwa mkoa wako.